-ingia 【动】 1. 进入,进来 例句:Baada ya mgeni kubisha hodi, nilimwambia aingie ndani. 释义:客人敲过门后,我请他进来。 2. 加入某个团体 例句:Ukiingia shirikani utafaidika sana. 释义:如果你加入团体,你将会受惠很多。 3. 参与某事 例句:Aliingia kwenye msafara wa waandamanaji. 释义:他加入了游行示威者的行列。