nafasi 【名】 (-) 1. 时间上的空闲,有空,空隙 例句:Ningependa kwenda kwako, lakini sina nafasi. 释义:我也想去你那里,但是我没空。 2. 空间,空位,位置 例句:Bahati kuu imemuangukia, wengi wangetaka kuwa katika nafasi yake. 释义:他走了天大的好运,多少人巴不得能在他的位置。 3. <转> 机会,时机