angua 是什么意思 | Sema angua kwa Kichina

-angua

【动】
1. 用手或者工具(比如钩子)将树上的水果摘下来或钩下来
例句:Mkulima aliangua matunda yalioiva na kuyaacha yaliokuwa mabichi.
释义:农民将熟了的水果勾下来,把没有成熟的留下来。
2. 下方刮到某处,蹭到某处
例句:Gari limeangua chini.
释义:车蹭到下面(的地面)了。
3. 孵蛋,孵出小鸡
例句:Kuku ameangua mayai.
释义:鸡将蛋孵了出来。
4. 砍下,剪下,摘下,尤指砍下植物上方的部分
例句:Baada ya kuangua maua yananawiri vuzuri sana.
释义:经过修剪植物上方的残枝叶,花开得更鲜艳了。
例句:Ameangua kucha zake.
释义:他把指甲剪了。
5. 突然进入某个状态
例句:Waliposikia habari za kifo cha baba, watu wote waliangua kilio.
释义:他们在听到父亲的死讯时,所有人一下子都不由地哭了起来。
词组:-angua kicheko 突然笑了


This is default text for notification bar