-hifadhi
【动】
1. 保存,贮存,保护,尤指将某物放置在安全的地方
例句:Wanabiashara huhifadhi bidhaa zao kwenye vyumba maalum.
释义:商人将他们的商品贮存在特别的房间里。
2. 记住某事并且不忘记
例句:Babu alituhimiza kuyahifadhi maneno aliyosema kwetu.
释义:祖父要我们记住他和我们说过的话。
hifadhi
【名】 (-)
安全的地方,保留地
例句:Waziri wa utalii aliwasihi wananchi wasiingie hifadhi ya wanyama.
释义:旅游部长恳切地要求国民不要进入野生动物保护公园。